Ni Tanzania washauri huwa hawalipwi mishara na marupu rupu makubwa kama wapambe ? Sio tu kwa matajiri hata wanasiasa wa pande zote.
Ni kwanini hapa kwetu Tanzania washauri huwa hawalipwi mishara na marupu rupu makubwa kama wapambe ? Sio tu kwa matajiri hata wanasiasa wa pande zote.
Je Kuna umuhimu wa kuwa na nafasi guru ya mjumbe wa amani kati ya CCM & CHADEMA ?
Tumfufue nani: Mzee Sabodo, Mengi au Chande (aliyekuwa mkuu wa Freemasonry Afrika Mashariki) au tukubaliane kumteua mtu kama huyo na tumpe kinga kufanya kazi yake kwa uhuru bila uoga ? Tafadhali kile kijiwe cha wakaanga mbuyu na wanafiki wa kituo cha demokrasia Tanzania.
Je Kuna umuhimu wa kuwa na nafasi huru ya mjumbe wa amani kati ya CCM & CHADEMA MWENYE kinga zote asiyeegemea upande wo wote ?
Tumfufue nani: Mzee Sabodo, Mengi au Chande (aliyekuwa mkuu wa Freemasonry Afrika Mashariki) au tukubaliane kumteua mtu kama huyo na tumpe kinga kufanya kazi yake kwa uhuru bila uoga ? Tafadhali kile kijiwe cha wakaanga mbuyu na wanafiki wa kituo cha demokrasia Tanzania.
