Rais Samia alitanganza R nne katika uongozi wake. Je Unazikumbuka zote? Je Rungu ilikua moja ya hizo R ama ni kwamba kinachoendelea mtaani ni tofauti na kile alichokiongelea Mama?
Hara mapadri waowe tuu. Maana ni mengi yanayofanyika nyuma ya mlango na yanapowekwa wazi ni imani kwenye taasisi tunazoheshimu inayopotea…
Hivi ni coincidence tu au kuna siri gani kati ya watawala au makadinali wamarekani kuhusishwa na vifo vyenye utata vya…
Ni Tanzania washauri huwa hawalipwi mishara na marupu rupu makubwa kama wapambe ? Sio tu kwa matajiri hata wanasiasa wa…
Sign in to your account