Rais Samia alitanganza R nne katika uongozi wake. Je Unazikumbuka zote? Je Rungu ilikua moja ya hizo R ama ni kwamba kinachoendelea mtaani ni tofauti na kile alichokiongelea Mama?
Hawa wageni toka Kenya na Uganda waliokuja kusiikiliza kesi ya Lissu Tundu leo wameishia kulia lia wakiomba wasilikilizwe wao. Baadhi…
Tusidanganyane, Tanzania kuna Amani, ama kuna uoga? Siku si nyingi tulisikia kuna watu walichukuliwa majumbani, jumba za ibada, kutoka kwenye…
Pasua jipu puuuu!-Ngara Kuna malalamiko ya Vijana Wilaya ya Ngara kupitia taarifa ya kija a mmoja mzalendo aliyejitambulisha kwa…
Sign in to your account