Kila siku tunaambiwa serikali haipendi Wafanyakazi na Wananchi wake wakamuliwe na mikopo ya kausha damu. Hivi wanamaanisha au wanatutania ? Ulishatafakari? Mtu akifungua ofisi za kampuni ya kausha damu tu…
Tuachane na swala la Tundu Lissu kushinda hiyo kesi yake ya uhaini isiyo na mikono wala miguu. Kwa kuamini kwamba …
Hebu nitafakarishe nikushauri ila usinikengeushe kipambe. Hivi je ni kweli mabadiliko yanayohofiwa yakipitishwa ili kuboresha uhuru wa uchaguzi kipi kitatokea …
Hawa wageni toka Kenya na Uganda waliokuja kusiikiliza kesi ya Lissu Tundu leo wameishia kulia lia wakiomba wasilikilizwe wao. Baadhi…
Sign in to your account