Rais Samia alitanganza R nne katika uongozi wake. Je Unazikumbuka zote? Je Rungu ilikua moja ya hizo R ama ni kwamba kinachoendelea mtaani ni tofauti na kile alichokiongelea Mama?
Hawa wageni toka Kenya na Uganda waliokuja kusiikiliza kesi ya Lissu Tundu leo wameishia kulia lia wakiomba wasilikilizwe wao. Baadhi…
Pasua jipu puuuu!-Ngara Kuna malalamiko ya Vijana Wilaya ya Ngara kupitia taarifa ya kija a mmoja mzalendo aliyejitambulisha kwa…
Leo tunakwenda kutazamia jimbo na wilaya maarufu kwa wasomi wengi nchii hii ambalo ni Nkenge na ni wilaya ya Missenyi…
Sign in to your account