Hawa wageni toka Kenya na Uganda waliokuja kusiikiliza kesi ya Lissu Tundu leo wameishia kulia lia wakiomba wasilikilizwe wao. Baadhi ya watu wanadai haikupaswa wapigwe. Eti wangekamatwa na kurushwa kwao tuu. Wengine wanasema wapatiwa dawa kwani wangesikilizia ugomvi dirishani wa wapendanao, yaliowakuta yasingewakuta. Haijulikani kama walikua na kibali kinachowaruhusu kufanya kazi ama kutalii. Mahakama huongozwa kwa vipengere vya sheria vilivyobeba masharti na anayekubali kuyatii, huyo sasa anakua si mtalii.
Cha kusikitisha, kuna video inasambaa my7 anaiitambulisha kama polis akiagiza mgeni atoke hotelini. Hii video inadhihirisha kuwa wageni walikua chini ya mikono ya ulinzi, polisi wa Kitanzania Keanu hamna kibaka ambaye angefanikiwa kuendesha gari kutoka Dar hadi mpakani mwa Kenya ama Tanzania akitesa mwenzake na asisimamishwe njiani na polisi.
Haya majeraha waliyokuwa nayo ni kutoka na kile wanachojisema kuwa waliteswa sana wakiwa wamepewa lift ya bure kutoka kwa hao polisi.
Je, ni sahihi kwa hawa wageni kuteswa?
Kuna muhimu wa kupiga mgeni alitekuja kusikiliza kesi mahakamani?
Je haya yaliyowakuta yangewakuta kama angekua wamehudhulia msiba wa mtu mkubwa kama Rais JPM?