By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
LiwalonaliweLiwalonaliwe
  • Uvumi
  • Za Kitaa/Street Talks
  • Kijiweni
  • Dating
  • Career
Search
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Law School wamefaulu wanafunzi 23 kati ya 821 sawa na 2.8%
Share
Sign In
Notification Show More
Latest News
DC Ngara Katika Hili Umechemka, Kama ni Kweli Waombe Radhi Vijana
Uvumi
Ukimya ni Uoga ama ni Usalama?
Uvumi
Nini Faida ya Jumuiya?
Kijiweni
Mavazi Yanaashiria Nini?
Za Kitaa/Street Talks
Majirani: Tumeponzwa na Pesa Kutoka Kwa Wazungu
Kijiweni
Aa
LiwalonaliweLiwalonaliwe
Aa
Search
  • Uvumi
  • Za Kitaa/Street Talks
  • Focused Affairs
    • Dating
    • Career
    • Kijiweni
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Liwalonaliwe > Uvumi > Tanzania Law School wamefaulu wanafunzi 23 kati ya 821 sawa na 2.8%
Uvumi

Tanzania Law School wamefaulu wanafunzi 23 kati ya 821 sawa na 2.8%

admin
Last updated: 2023/04/25 at 7:41 PM
admin
Share
SHARE

Habari za leo wapendwa wasomaji. Leo ningependa kutoa ripoti kuhusu hali ya kuhuzunisha ya matokeo ya kozi ya uwakili kutoka shule ya Sheria Tanzania. Kati ya wanafunzi 821 waliofanya mtihani, ni wanafunzi 23 pekee waliofaulu, sawa na asilimia 2.8%, huku asilimia 97.2 wakidaiwa kufeli. Hali hii inajiri baada ya malalamiko mengi kutolewa na wadau wa elimu kufuatia matokeo ya mwaka jana, ambapo wanafunzi 26 pekee kati ya 633 waliofanya mtihani walifaulu.

Kamati ya uchunguzi iliyoundwa na Waziri wa Sheria na Katiba, @damasndumbaro_official chini ya uongozi wa @harrisonmwakyembe, iliwasilisha taarifa yake, ambapo ilidai kuwa tatizo ni uwezo mdogo wa wanafunzi unaotokana na vyuo walivyosoma. Hata hivyo, matokeo ya mwaka huu yanaibua maswali zaidi kuhusu hali hiyo.

Kuna malalamiko kuwa Kamati ya Mwakyembe ilifanya uchunguzi wa kina, lakini haikufanya ‘rundom sampling’ ambayo ingewezesha kupata picha halisi ya tatizo. Kwa kuwa walimu walikuwa wengi kuliko wanafunzi waliohojiwa, inawezekana kuwa kuna tatizo kubwa zaidi ambalo halitajwi. Huwezi kufundisha darasa la watu 100 wakafaulu wawili tu, halafu ukajitetea eti ni uwezo mdogo wa wanafunzi. Uchunguzi zaidi unahitajika ili kubaini chanzo cha tatizo hili la kushuka kwa kiwango cha ufaulu katika kozi hii muhimu. Tutawaarifu kuhusu maendeleo zaidi ya suala hili. Asanteni sana.

Imetumwa na: AMK

Sign Up For Daily Newsletter

Be keep up! Get the latest breaking news delivered straight to your inbox.
[mc4wp_form]
By signing up, you agree to our Terms of Use and acknowledge the data practices in our Privacy Policy. You may unsubscribe at any time.
admin April 25, 2023
Share this Article
Facebook Twitter Copy Link Print
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

LiwalonaliweLiwalonaliwe
Follow US

© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

[mc4wp_form]
Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Register Lost your password?