By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
LiwalonaliweLiwalonaliwe
  • Uvumi
  • Za Kitaa/Street Talks
  • Kijiweni
  • Dating
  • Career
Search
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Reading: Hiki ndio sikielewi kwa wamarekani….
Share
Sign In
Notification Show More
Latest News
DC Ngara Katika Hili Umechemka, Kama ni Kweli Waombe Radhi Vijana
Uvumi
Ukimya ni Uoga ama ni Usalama?
Uvumi
Nini Faida ya Jumuiya?
Kijiweni
Mavazi Yanaashiria Nini?
Za Kitaa/Street Talks
Majirani: Tumeponzwa na Pesa Kutoka Kwa Wazungu
Kijiweni
Aa
LiwalonaliweLiwalonaliwe
Aa
Search
  • Uvumi
  • Za Kitaa/Street Talks
  • Focused Affairs
    • Dating
    • Career
    • Kijiweni
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Liwalonaliwe > Kijiweni > Hiki ndio sikielewi kwa wamarekani….
Kijiweni

Hiki ndio sikielewi kwa wamarekani….

admin
Last updated: 2023/04/25 at 6:38 PM
admin
Share
SHARE

Hiki ndio sikielewi kwa wamarekani…. muda mwingine nawafanisha na watusi wa zamani… wazee wengi wanahadisia kuwa mtusi alikua anahama hama boma pale mtu anapofariki ama wanadai wanaume wazamani walikua wakisha walikua wanaacha mke baada ya kumzalisha watoto wanne ama sio kuacha wanaongezea mke mwingine maana wameshazehesha yule aliyekuwepo.

Sasa hawa wamarekani, wote kwa wazungu na weusi huwa hawakaagi ama hawadumu kwenye ndoa. Wanashangaa kweli wanapokuona hujaacha mke aliyepo na kuoa mke mwingine hasa baada ya miaka kadhaa… naweza kusema watoto wao wanapokua kati ya miaka mitatu hadi 9 humo utawasikia wanaachana. Yaani wasipoachana ni kama wamekosea maisha. Wanadai hawaowi zaidi ya mke/mme mmoja ila wanatafuna kamoja kamoja. No kawaida kusikia mtu anakwambia nipo kwenye ndoa ya 2, ya 3, 4,…. ama sina mtu ila naishi na girlfriend ama boyfriend na anayekwambka hivyo anamiaka 50, 60+.

Wengine huwa hawaowi nabkuishi kwenye upweke. Watu wengi ni wapweke na ndio kama hawa wazee wa miaka 60 wanatafuta kajivulana… na kufanya wayatakayo. Kama ni wapweke mbona wasiishi na gf ama bf? Wanakwambia bora waishi na mbwa ama paka maana hatokuudhi kuliko kuishi na binadamu mwingine.

Ni mara nyingi kukuta wametelekeza familia na watoto kuhahaha … ni kawaida kusikia mtu anakwambia sina ndugu maana hawaendelezagi undugu… muda mwingine hawa wanaouwashana na kuuwana nawaelewa. Jitu liliterekezwa na kuishi mitaani ama kama omba omba halafu unakuta mtu mweusi anapewa misaada na serikali na haoni huo umuhimu… hawaendi shule huku kwenda shule ingekua bure ama basi tuu wanaamua kuishi mitaani nabkuwa wahuni… Sasa mtu aliyetupwa na familia akabahatika kuwa police kwa nini asilipizie kwa kufyatua yule ambae sio mzungu… anayepewa misaada huku huyo police alisota mwenyewe mpaka kufika hapo alipo.

Na amini tumeumbwa tuishi pamoja… wawili wawili at least na kuvumiliana kwa yote.

Sign Up For Daily Newsletter

Be keep up! Get the latest breaking news delivered straight to your inbox.
[mc4wp_form]
By signing up, you agree to our Terms of Use and acknowledge the data practices in our Privacy Policy. You may unsubscribe at any time.
admin April 25, 2023
Share this Article
Facebook Twitter Copy Link Print
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

LiwalonaliweLiwalonaliwe
Follow US

© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

[mc4wp_form]
Zero spam, Unsubscribe at any time.

Removed from reading list

Undo
Welcome Back!

Sign in to your account

Register Lost your password?